Rusty - Tafash lyrics

Intro

Rusty

Raundi hii ni Genge

Nafanya mcheke

Nikiwapatia true story

Ya Manzi yangu

Mnataka kuiskiza?

Mnataka kuiskiza?

Ndio hiyo, sawa.

Chorus

Tafash Jo, kukupenda manzi yangu

Tafash Jo, kukutembelea kwenyu

Tafash Jo, ningehandwa juu yako

Tafash Jo, Tafash Jo, I say x2


Verse 1

Nakumbuka hiyo day tumeenda ku party

Downtown tuka go kukutana na Shawty

Kufika kwa gate, tukapata Wochi

Niwasaidie vipi mothama ni mngori

Tunataka Shee tuongee one minute

Haya ingieni mkipatwa shida yenu

Kufika kwa door, tuka meet na Shiro

Kabla hajagota, matha akafungua diro

Mnafanya nini?, na mnataka nini?

Nawapa 5 minutes au niite Polisi

Si hatuna noma tumeleta tu salamu

Na kama huamini tuandike kwa kalamu

[ Lyrics from: http://www.lyricsfreak.com/r/rusty/tafash_21049682.html ]

Verse 2

After kutoa uzushi matha akatoka nje

Nani ana psych asimame ni mvunje?

Tukajifanya chizi na kukula mbao finje

Dame alitoka tukadai ajifiche

Kuona kumethoka wochi akatudandia

Ali come na madogi na life kututishia

Alikuwa amevaa, label moja ya bandia

Akaanza kuturuka ati si tuna hatia

Mbuyu akatoka, kama ametuhanda

Hawa wanajua wanakaa kwa kibanda

Wanataka kuharibu msichana Kwa kitanda

Wote wakadai ati sisi ni ma dunder


Verse 3

Noma ikazidi na si tukakaidi

Siku si ya idi na tumewakisha udi

Magova waka come, na kutuita kando

Mmoja wao, alikuwa ni Onyango

Nani hii nyang’au? Na italala ndani!

Tukadai sio noma, niku by-pass

Mbuyu akasema, tunaishi ghetto

Tafash Jo, kumbe ningekatiziwa

Tafash Jo, kumbe mimi ningeshikwa

Tafash Jo, kumbe ningekatiziwa

Tafash Jo, kumbe mimi ningeshikwa


Outro

Manze kutembelea dame

Kwao manze ni Tafash Jo

Usijaribu, chunga usipatikane

Ukipatikana ni mwathara

Hii ni Tafash manze

Raundi hii ni kunoma

Alters Records

Skiza hii

Dedication ya wasee wote wa ghetto

Ni ngumu ka metal






No comments:

Post a Comment